Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mama Janeth Magufuli Atoa Misaada Kwa Wazee Wasiojiweza 400 Chato Mkoani Geita
Jul 08, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_5935" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Mwakilishi wa Wazee 400 kutoka Wilaya ya Chato Bi. Winfrida Lawrent(65) kutoka Kata ya Kasenga kabla ya kuwakabidhi msaada wa vyakula mbalimbali ikiwemo Kilo 10,000 za Mchele, Kilo 10,000 za Unga wa mahindi, Kilo 4000 Maharage, Mafuta, Sabuni pamoja na Sukari.[/caption] [caption id="attachment_5938" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisalimiana na Mwakilishi wa Wazee 400 kutoka Wilaya ya Chato Bw. AnatoryBisate (64) kabla ya kuwakabidhi msaada wa vyakula mbalimbali ikiwemo Kilo 10,000 za Mchele, Kilo 10,000 za Unga wa mahindi, Maharage kilo 4000, Mafuta, Sabuni pamoja na Sukari.[/caption] [caption id="attachment_5939" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwakabidhi kwa pamoja mafuta waakilishi wa Wazee kutoka kata ya Kasenga AnatoryBisate (64) kulia pamoja na Bi. Winfrida Lawrent(65) kushoto mara baada ya kuzungumza na wazee 400 katika Ukumbi wa Mshikamano SACCOS Chato mkoani Geita.[/caption] [caption id="attachment_5941" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiimba pamoja na wanakwaya wa Mwagazege mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mshikamano SACCOS Chato mkoani Geita.[/caption] [caption id="attachment_5942" align="aligncenter" width="750"] Mama Janeth Magufuli akiwasili katika eneo la mkutano mara baada ya kupokewa na Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga Chato mkoani Geita.[/caption] [caption id="attachment_5943" align="aligncenter" width="750"] Mama Janeth Magufuli akiwa na viongozi wengine wa mkoa akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga wakwanza kushoto wakati wa dua kabla ya kuzungumza na wazee wasiojiweza zaidi ya 400.[/caption] [caption id="attachment_5944" align="aligncenter" width="750"] Mama Janeth Magufuli akifurahi pamoja Naibu Waziri wa nishati na Madini Dkt. Medard Kalemani wakati Kwaya ya Mwakazege ya kutoka Chato ilipokuwa ikitumbuiza kabla ya kuzungumza na wazee wasiojiweza zaidi ya 400.[/caption]   [caption id="attachment_5948" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akizungumza na Wazee wasiojiweza zaidi ya 400 kutoka Wilaya ya Chato katika Ukumbi wa Mshikamano Saccos.[/caption] [caption id="attachment_5953" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali wa mkoa, Wilaya na Chama waliojumuika na Waakilishi wa wazee wasiojiweza zaidi ya 400 Chato mkoani Geita.[/caption] [caption id="attachment_5954" align="aligncenter" width="750"] Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili.[/caption] [caption id="attachment_5959" align="aligncenter" width="750"] Wazee wakishangilia wakati wa hotuba ya mgeni rasmi. (Picha na Ikulu)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi