Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Makamu wa Rais Awasili Kuongoza Watanzania Maombi Kitaifa
Apr 22, 2024
Makamu wa Rais Awasili Kuongoza Watanzania Maombi Kitaifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango amewasili katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma ambapo anawaongoza Watanzania katika Dua na Maombi ya kuliombea Taifa ikiwa ni Shamrashamra za Maadhimisho ya Miaka 60 ya Muungano.
Na Ofisi ya Makamu wa Rais

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi