Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Akagua Kiwanda cha Korosho cha Buko na Kiwanja cha Michezo cha Ilulu Mjini Lindi
Nov 22, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_38663" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua uwanja wa michezo wa Ilulu uliopo mjini Lindi, Novemba 21, 2018. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.[/caption] [caption id="attachment_38664" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua kiwanda cha korosho BUKO cha mjini Lindi ambacho kimesimamisha uzalishaji, Novemba 21, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi.[/caption] [caption id="attachment_38667" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akishuhudia wakati , Afisa anayesimamia Ubora wa Korosho, Dastan Milazi alipokuwa akipima korosho zilizopokelewa kwenye ghala la kiwanda cha korosho cha BUKO cha mjini Lindi wakati alipotembelea kiwanda hicho kilichosimamisha uzalishaji, Novemba 21, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi