Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mabregedia Jenerali wa JWTZ wakibeba Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu
Jul 30, 2020
Na Msemaji Mkuu

Mabregedia Jenerali wa JWTZ wakibeba  Jeneza lenye Mwili wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Benjamin William Mkapa kabla ya kushushwa kaburini Lupaso Masasi mkoani Mtwara tarehe 29 Julai, 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na mjane wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Hayati Benjamin William Mkapa Lupaso Masasi mkoani Mtwara wakati wa mazishi yake.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi