[caption id="attachment_47643" align="aligncenter" width="750"]
Muonekano wa Kituo cha Forodha cha Pamoja (OSBP) kwa upande wa Tanzania kilichopo Tunduma mkoani Songwe ambacho kimefunguliwa kwa pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Rais wa Zambia Mheshimiwa Edgar Chagwa Lungu.[/caption]