Maafisa kutoka Ubalozi wa China nchini wakifuatilia mazungumzo kati ya Prof. Mkenda na Balozi Wang Ke (hawapo pichani) |
Prof. Mkenda akimsikiliza Balozi Wang Ke alipokuwa akimweleza kuhusu hatua iliyofikiwa katika maandalizi ya Mkutano wa FOCAC utakaofanyika mwezi Septemba, 2018 nchini China |
Mkutano ukiendelea |
Picha ya pamoja |