Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Hospilai ya Rufaa ya Kanda Mbeya Yafanikiwa Kutoa Huduma ya Upasuaji kwa Njia ya Matundu
Dec 03, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_49555" align="aligncenter" width="750"] Hospitali ya Rufaa ya kanda Mbeya leo imefanya kwa mara ya kwanza upasuaji kwa njia ya matundu(FUNCTIONAL ENDOSCOPIC SINUS SURGERY) wa matundu yanayoambatana na pua na magonjwa megine ya pua. Upasuaji huu umefanywa kwa umahiri mkubwa na Madaktari bingwa wa Masikio, koo na Pua kwa kushirikiana na Madaktari Bingwa kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Faida ya upasuaji huu kwa njia ya kisasa unasaidia mgonjwa kuchukua muda mufupi kukaa hospitalini, kutokuweka kovu eneo la upasuaji na mgonjwa kupona haraka.Hudu[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi