Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, akifurahia jambo na Spika wa Seychelles, Mhe. Roger Mancienne (katikati) pamoja na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania, Mhe. Mussa Zungu walipokutana katika Ukumbi mdogo wa Mikutano wa Bunge la Angola uliopo Jijini Luanda nchini Angola leo tarehe 23 Oktoba, 2023. Dkt. Tulia anagombea nafasi ya Urais wa Umoja wa Mabunge duniani (IPU) unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Oktoba, 2023 nchini humo.
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Ndogo
Kawaida
Kubwa