Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Balozi Mdogo wa China Amuaga Rais Mwinyi
Jan 29, 2024
Balozi Mdogo wa China Amuaga Rais Mwinyi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar, Mhe. Zhang Zhisheng, wakati alipofika kumuaga Rais, Ikulu Jijini Zanzibar leo akiwa amemaliza muda wake wa kazi hapa nchini.
Na Ikulu - Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussei Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar, Mhe. Zhang Zhisheng (wa pili kushoto) alipofika kuaga Ikulu jijini Zanzibar leo mara baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar Balozi Mdogo wa China hapa Zanzibar, Mhe. Zhang Zhisheng, baada ya mazungumzo yao leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar akimaliza muda wake wa kazi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiwa katika picha na Balozi mdogo wa China hapa Zanzibar, Mhe. Zhang Zhisheng baada ya mazungumzo yao leo alipofika kuaga Ikulu Jijini Zanzibar.

 

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi