Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio katika Picha: Ziara ya Dkt. Abbasi na Ujumbe Wake Nchini China
Oct 26, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_37424" align="aligncenter" width="1008"] Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi na Ujumbe wake wakipewa maelezo ya kiutendaji wa kazi za kila siku zinazofanywa na Shirika la Habari la CCTV na CGTN kutoka kwa mmoja wa viongozi wa juu wa Shirika hilo mapema Jana jijini Beijing, China.[/caption] [caption id="attachment_37426" align="aligncenter" width="750"] Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akiwa katika moja ya chombo cha habari cha Beijing nchini China anakoendelea na ziara yake inayolenga kujifunza, kubadilishana uzoefu na kuimarisha ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.[/caption] [caption id="attachment_37427" align="aligncenter" width="1008"] Picha mbalimbali za ziara ya Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi na Ujumbe wake alipotembelea vyombo vya habari vya CCTV na CGTN na China Redio Kimataifa Beijing China.[/caption]  

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi