Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Posta Yaeleza Matarajio Yake Mwaka 2018/2019
Aug 31, 2018
Na Msemaji Mkuu

Baadhi ya Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, wakichukua taarifa iliyokuwa ikitolewa na  Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Posta Tanzania, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo.

Mwenyekiti wa Bodi, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo (katikati), akizungumza na waandishi katika mkutano huo.  

Postamasta Mkuu, Hassan Mwang'ombe, akizungumza katika mkutano huo, wakati alipoelezea kuhusu duka la Shirika la kwenye mtandao kwamba sasa tayari linafanya kazi na kuwataka wananchi kulitumia kwa kuweka bidhaa zao ili kuweza kuuza ndani na nje ya nchi. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika, Kanali Mstaafu, Dk. Haruni Kondo.

Maofisa wa Kitengo cha Mawasiliano cha Shirika la Posta Tanzania (TPC),wakiwa katika mkutano huo, wakimsikiliza Postamasta Mkuu wa shirika hilo, Hassan Mwang'ombe, alipokuwa akizungumza katika mkutano huo, jijini Dar es Salaam leo.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi