Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Aanza Ziara wilayani Kishapu
Jul 13, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_33508" align="aligncenter" width="1000"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Kishapu, Mhe. Suleiman Nchambi wakati alipowasili kwenye viwanja vya Ofisi ya Halmashauri ya wilaya ya Kishapu Julai 13, 2018. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Zainab Telack[/caption] [caption id="attachment_33509" align="aligncenter" width="1000"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mtoto Witness Castory wa Shule ya Awali ya Lubaga wilayani Kishapu baada ya mtoto huyo na wenzake kuimba wimbo wa kumkaribisha Waziri Mkuu kwenye viwanja vya Jengo la Halmashauri ya wilaya ya Kishapu Julai 13, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi