Na. Rodney Thadeus - MAELEZO, China
Aliyekuwa Balozi wa China nchini Tanzania, Mhe. Balozi Dkt. Lu Youqing akiongea katika majadiliano ya kibiashara baina ya wafanyabiashara wa Tanzania na China ambayo yalienda sambamba na maonesho ya Kimataifa ya Biashara ya Canton jijini Guangzhou, China.
Jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli limekuwa gumzo hapa nchini China kutokana na Serikali yake kuwa mstari wa mbele katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.
Aliyekuwa Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. L...
Read More