*Kipande cha Moro-Singida ujenzi wapamba moto*
Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) kipande cha Dar es Salaam mpaka Moro-
goro chenye urefu wa kilometa 205 umekamilika kwa zaidi ya asilimia 73 huku
utandikaji wa reli ukiwa umemalizika na kazi inayoendelea kwa sasa ni uwekaji
wa nguzo za umeme, nyaya pamoja na ujenzi wa vituo mbalimbali vya kuhudu-
mia abiria na mizigo.
Akizungumza na Maafisa kutoka Idara ya Habari – MAELEZO, waliofanya ziara
katika mradi huo, Meneja Msaidizi wa mradi wa SGR kipande cha Dar es Salaam
hadi Morogoro,...
Read More