[caption id="attachment_35236" align="aligncenter" width="750"] Balozi wa India Nchini, Sandeep Arya (kushoto) akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula (kulia) mara baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Mwenyekiti wa Tume zilizopo jijini Dodoma[/caption]
Na Greyson Mwase, Dodoma
Mwenyekiti wa Tume ya Madini, Profesa Idris Kikula leo tarehe 13 Septemba, 2018 amekutana na Balozi wa India Nchini, Sandeep Arya jijini Dodoma. Lengo la ziara ya Balozi Arya kwenye Ofisi ya Mwenyekiti wa Tume ya Madini lilikuwa ni kujitambulisha...
Read More