Afisa Msimamizi wa Fedha Mkuu kutoka Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha Wizara ya Fedha, Bw. Salim Khalfan Kimaro, akitoa mada kwa Wasanii kutoka Shirika la Kijamii linalojishughulisha na utoaji wa Elimu ya Uraia (TACCI) wakati wa Mafunzo ya Elimu ya Fedha kwa wasanii hao, mkoani Morogoro.
Read More