Na Ahmed Sagaff, MAELEZO
Rais wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amewashukuru viongozi wa dini zote nchini kwa kushiriki kikamilifu katika kuwaelimisha wafuasi wao kuhusu Sensa ya Watu na Makazi iliyofanyika Agosti, 2022.
Akizungumza hivi karibuni katika Baraza la Maulid lililofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Nchi amesema viongozi wa dini kupitia taasisi zao, wamekuwa wakiiunga mkono Serikali katika jitihada za kuwaletea maendeleo Watanzania.
“Natoa shukrani maalum kwa taasisi mbalimbali za di...
Read More