[caption id="attachment_49561" align="aligncenter" width="1000"] Mkurugenzi wa Idara ya Habari – MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi akisalimiana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza alipowasili katika viwanja vya Hazina kwa ajili ya kufungua awamu ya pili ya mafunzo ya Mawasiliano ya Kimkakati kwa Maafisa Habari kutoka wizara, taasisi, mashirika ya umma na halmashauri nchini leo tarehe 02 Desemba 2019 Jijini Dodoma.[/caption]
Na Anitha Jonas & Shamimu Nyaki - WHUSM
Naibu Waziri Wi...
Read More