Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mwakyembe azindua Tamasha la Ngoma za Asili za Jamhuri ya Korea.
May 18, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_1098" align="aligncenter" width="1000"] Balozi wa Jamhuri ya Korea hapa nchini Mhe. Song,Geum-young akizungumza na washiriki wa Tamasha la Ngoma za asili za nchi hiyo (hawapo pichani) jana Jijini Dar es Salaam.[/caption]   [caption id="attachment_1099" align="aligncenter" width="1000"] Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Ngoma za asili za Jamhuri ya Korea jana Jijini Dar es Salaam.[/caption]   [caption id="attachment_1100" align="aligncenter" width="800"] Wasanii kutoka Jamhuri ya Korea wakionesha moja ya ngoma za aslili za nchi hiyo wakati wa Tamasha la Ngoma za asili za Jamhuri ya Korea jana Jijini Dar es Salaam.[/caption]

[caption id="attachment_1105" align="aligncenter" width="800"] Baadhi ya watazamaji kutoka Jamhuri ya Korea na Tanzania wakifuatilia ngoma mbalimbali zilizokuwa zikioneshwa katika Tamasha la Ngoma za asili za Jamhuri ya Korea jana Jijini Dar es Salaam.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi