Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Majaliwa Aongoza Kikao cha Sensa Zanzibar
Jul 30, 2022
Na Jacquiline Mrisho

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ambaye pia ni  Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Sensa ya Watu na Makazi akifungua mkutano wa kamati hiyo kwenye ukumbi wa hoteli  Melia Zanzibar, Julai 30, 2022. Kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti Mwenza, Hemed Suleiman Abdulah.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi