Waziri Mkuu Majaliwa, Afungua Mkutano Mkuu wa TALGWU
Aug 25, 2021
Na
Jacquiline Mrisho
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiimba wimbo wa mshikamano alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama hicho, katika ukumbi wa Royal Village, Dodoma Agosti 25, 2021, kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, kulia kwa Waziri Mkuu ni Mwenyekiti wa TALGWU na rais wa TUCTA, Tumaini Nyamokya, Katibu Mkuu wa TALGWU, Rashidi Mtima.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wanachama wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama hicho, katika ukumbi wa Royal Village, Dodoma Agosti 25, 2021.
Wanachama wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) wakimsikiliza Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, alipofungua Mkutano Mkuu wa Chama hicho, katika ukumbi wa Royal Village, Dodoma Agosti 25, 2021.