Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Waziri Mkuu Ashiriki Mazishi ya Mke wa Waziri Mwakyembe
Jul 19, 2017
Na Msemaji Mkuu

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakiweka shada la Maua kwenye  kaburi la  Linah George Mwakyembe, mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe katika mazishi yaliyofanyika leo Kyela Mkoani Mbeya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa na mkewe Mary wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu, Linah George  Mwakyembe, mke wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe katika mazishi yaliyofanyika leo Kyela Mkoani Mbeya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa  akimfariji Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Harrison Mwakyembe kufuatia kifo cha Mke wake Linah George Mwakyembe. Mazishi walifanyika leo huko  Kyela Mkoani Mbeya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt.  Harisson Mwakyembe pamoja na familia yake wakiwa pamoja na waombolezaji wakati wa Ibada ya ya mazishi ya mkewe, Linah George Mwakyembe yaliyofanyika leo Kyela Mkoani Mbeya. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akitia saini kitabu cha maombolezo baada ya kuwasili nyumbani kwa Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe  kushiriki katika mazishi ya mke wa Waziri huyo, Linah George Mwakyembe yaliyofanyika leo Kyela Mkoani Mbeya.  Kulia ni  mkewe Mary (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi