Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Wanariadha 8 Kuiwakilisha Tanzania Nchini Uingereza.
Jul 31, 2017
Na Msemaji Mkuu

Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiwahutubia Wanariadha (hawapo pichani) watakaoiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza.

Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony Mtaka akiwahutubia Wanariadha (hawapo pichani) watakaoiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza.

Mkurugenzi Mtendaji wa Multichoice Tanzania (DSTV) Bw. Maharage Chande akiwahutubia Wanariadha (hawapo pichani) watakaoiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza.

Waziri wa Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akiwakabidhi Bendera ya Taifa Wanariadha watakaoiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya Mbio nchini Uingereza.

Hawa ni baadhi ya Wanariadha wakiwa pamoja na Makocha wao ambapo jumla ya Wanariadha watakaoiwakilisha Tanzania katika mbio nchini Uingereza ni nane (8) na wanatarajia kuanza safari yao hapo kesho 1 Agosti, 2017.

(Picha zote na Anitha Jonas)

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi