Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu Unaendelea Mkoani Dodoma.
May 22, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_1375" align="alignnone" width="1000"] Menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) ikikagua ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya ofisi hiyo wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo iliyofanyika hivi karibuni mkoani Dodoma. Ujezi wa jengo hilo unatarajia kumalizika mwanzoni mwa mwaka 2018.[/caption] [caption id="attachment_1376" align="alignnone" width="750"] Taswira ya ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) mkoani Dodoma. Ujezi wa jengo hilo unatarajia kumalizika mwanzoni mwa mwaka 2018.(Picha na Veronica Kazimoto – NBS).[/caption]  

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi