Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Samia Akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi Ikulu Dar es Salaam
Oct 31, 2023
Rais Samia Akutana na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi Ikulu Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mjumbe Maalum wa Rais wa Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye ambaye ni Waziri wa Masuala ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, Vijana, Michezo na Utamaduni, Mhe. Balozi Gervais Abayeho (pamoja na ujumbe wake) mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam tarehe 30 Oktoba, 2023.
Na Ikulu

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi