Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akisalimiana na Rais wa Baraza la Ulaya, Mhe. Charles Michael, walipokutana Jijini New York Nchini Marekani leo Sept 22, 2021.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Rais wa Baraza la Ulaya, Mhe. Charles Michael, walipokutana Jijini New York Nchini Marekani leo Sept 22, 2021.