Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Mhe. Dkt. Samia Apokea Taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Aug 18, 2023
Rais Mhe. Dkt. Samia Apokea Taarifa ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga wakati alipowasilisha taarifa ya shughuli zinazofanywa na Ofisi ya Makamu wa Rais, Ikulu mkoani Dodoma tarehe 17 Agosti, 2023.
Na Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea kitabu cha Mpango Kabambe wa Taifa wa Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (2022-2032) kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga, Ikulu mkoani Dodoma tarehe 17 Agosti, 2023. Mpango Kabambe huo umeandaliwa na Ofisi ya Makamu wa Rais.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais, Bi. Mary Maganga mara baada ya kuwasilisha taarifa ya shughuli zinazofanywa na Ofisi hiyo, Ikulu mkoani Dodoma tarehe 17 Agosti, 2023.

 

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi