Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Magufuli Amteua Prof. Humphrey Mushi Kuwa Mwenyekiti wa FCC
Oct 30, 2018
Na Msemaji Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Prof. Humphrey P.B. Moshi kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Tume ya Ushindani nchini (The Fair Competition Commission - FCC).

Prof. Moshi ni Mhadhiri Mstaafu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Uteuzi wa Prof. Moshi unaanza leo tarehe 30 Oktoba, 2018.

Gerson Msigwa

Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU

Dar es Salaam

30 Oktoba, 2018.

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi