Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Rais Magufuli Amjulia Hali Profesa Norman Sigala Aliyelazwa Muhimbili
Oct 22, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_37206" align="aligncenter" width="1008"] Mbunge wa Makete Profesa Norman Sigala King ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam akizungumza mara baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli kumjulia hali leo tarehe 22/9/2018.[/caption] [caption id="attachment_37207" align="aligncenter" width="1008"] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Mbunge wa Makete Profesa Norman Sigala King ambaye amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi