Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira Yawasilishwa kwa Kamati ya Bunge
Oct 30, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_37602" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Mussa Sima akifafanua jambo mbele ya Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira mara baada ya kuwasilisha taarifa ya Utekelezaji wa Sheria ya Mazingira katika ngazi ya Serikali za Mitaa. Kikao hicho kimefanyika leo katika ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma.[/caption] [caption id="attachment_37603" align="aligncenter" width="750"] Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Balozi Joseph Sokoine akifuatilia majadiliano mara baada ya Ofisi yake kuwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Sheria ya Mazingira mbele ya Kamati ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira. Kulia ni Mhe. Hawa Mwaifunga Mbunge wa Viti Maalumu.[/caption] [caption id="attachment_37604" align="aligncenter" width="750"] Sehemu ya waheshiwa wabunge wakifuatilia mjadala, kulia ni Mhe Josephine Genzabuke na Mhe. Gibson Blasius Meiseyeki.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi