Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Mhariri Mtendaji TSN Afurahishwa na Jarida la Nchi Yetu
Nov 16, 2017
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_22785" align="aligncenter" width="750"] Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akimkabidhi nakala ya Jarida la Nchi Yetu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN) Dkt. Jim Yonaz alipotembelea Ofisi za Idara hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Jarida hilo nit oleo maalum la mwezi Novemba ambalo limeangazia miaka miwili ya uongozi wa Rais Dkt, John Pombe Magufuli. (Picha na: Maelezo)[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi