Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Matukio Bungeni Leo.
Feb 05, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="" align="aligncenter" width="900"] Mwanasheria Mkuu Wa Serikali Dkt. Adelardus Kilangi akila kiapo cha uaminifu Bungeni mapema leo , Baada ya Kuteuliwa na Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Kushika wadhifa huo hivi Karibuni. Kulia ni Katibu wa Bunge Dkt. Stephen Kagaigai akishuhudia kiapo hicho.[/caption]  

[caption id="attachment_28530" align="aligncenter" width="900"] . Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akimpongeza Mwanasheria Mkuu Wa Serikali Dkt. Adelardus Kilangi mara baada ya kiapo cha uaminifu Bungeni mjini Dodoma, mapema leo .[/caption] [caption id="" align="aligncenter" width="900"] . Mwanasheria Mkuu Wa Serikali Dkt. Adelardus Kilangi akisitiza jambo kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu mhe. Jenista Mhagama wakati wa kikao cha Bunge leo mjini Dodoma.[/caption]  
[caption id="" align="aligncenter" width="750"] Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson akisistiza jambo wakati wa Kikao cha Bunge leo mjini Dodoma.[/caption]  
[caption id="attachment_28535" align="aligncenter" width="750"] Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu ( Walemavu) Mhe. Stella Ikupa ( wa kwanza kushoto) akitoa maelezo Bungeni kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuhakikisha kuwa walemavu wa ngozi wanapata mafuta maalum yakujikinga na athari za mionzi ya jua.[/caption] [caption id="attachment_28536" align="aligncenter" width="900"] Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akisisitiza jambo kwa Waziri wa Nishati Dkt. Merdard Kalemani mapema leo Bungeni mjini Dodoma.[/caption]

(Picha zote na  Frank Mvungi- MAELEZO, Dodoma)

Habari Mpya

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi