Tuvuti Kuu
Mrejesho
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO
Makamu wa Rais Ashiriki Ufunguzi Mkutano wa SDGS - New York
Sep 18, 2023
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango akishiriki katika ufunguzi wa Mkutano wa Malengo ya Maendeleo Endelevu unaofanyika katika Ukumbi wa Umoja wa Mataifa New York nchini Marekani.(kutoka kulia ni Mwakilishi wa Kudumu wa Umoja wa Matifa New York, Balozi Hussein Katanga na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk N Mbarouk).
Na ofisi ya Makamu wa Rais
Habari Mpya
Watanzania Watakiwa Kuchangamkia Fursa Katika Sheria ya PPP
Sep 05, 2024
Serikali, Sekta Binafsi Wazindua Madawati ya Uratibu wa NGOs
Sep 05, 2024
Wahamasishwa Kutumia Nishati Safi za Kupikia
Sep 04, 2024
WMA Yahimiza Matumizi ya Mizani Iliyohakikiwa kwa Wafanyabiashara wa Gesi
Sep 04, 2024
Tanzania Kujiimarisha Zaidi Kidiplomasia - Majaliwa
Sep 04, 2024
Serikali Yaweka Mazingira Wezeshi kwa Wahandisi Wazawa
Sep 03, 2024
Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Giza
Mwanga
Chaguo Msingi
Marekebisho ya Maandishi
Ndogo
Kawaida
Kubwa