Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Majaliwa Afungua Maonyesho ya Pili ya Tekinolojia ya Dhahabu Mjini Geita
Sep 23, 2019
Na Msemaji Mkuu

[caption id="attachment_47236" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kuhusu noti bandia na noti halali kutoka kwa Angela Kashanga (kulia) wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) wakati alipotembelea banda la BOT katika Maonyesho ya Tekinolojia ya Dhahabu yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu, kwenye uwanja wa CCM Kahangalala mjini Geita, Septemba 22, 2019. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel na katikati ni Mkurugenzi wa BOT tawi la Mwanza, Florence Kazimoto. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)[/caption] [caption id="attachment_47237" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kuhusu noti bandia na noti halali kutoka kwa Angela Kashanga wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) wakati alipotembelea banda la BOT katika Maonyesho ya Tekinolojia ya Dhahabu yaliyofunguliwa na Waziri Mkuu, kwenye uwanja wa CCM Kahangalala mjini Geita, Septemba 22, 2019.[/caption] [caption id="attachment_47238" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipata maelezo kutoka kwa Mtalaam wa Uchenjuaji madini, John Ngenda ( wa pili kulia) kuhusu mtambo wa kuchenjua madini wakati alipofungua Maonyesho ya Pili ya Tekinolojia ya Dhahabu kwenye uwanja wa CCM, Kahangalala mjini Geita, Septemba 22, 2019. Watatu kulia ni Waziri wa Madini, Doto Biteko na kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi Robert Gabriel.[/caption] [caption id="attachment_47240" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati alipozindua Maonyesho ya Pili ya Tekinolojia ya Dhahabu kwenye uwanja wa CCM Kahangalala mjini Geita, Septemba 22, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)[/caption] [caption id="attachment_47242" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikata utepe kuzindua Mwongozo wa Unaoonyesha Fursa za Uwekezaji wakati alipofungua Maonyesho ya Tekinolojia ya Dhahabu kwenye uwanja wa Kahangalala mjini Geita, Septemba 22, 2019. Wengine pichani kutoka kushoto ni Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Waziri wa Madini, Doto Biteko, Mkuu wa Mkoa wa Geita, Mhandisi, Robert Gabriel na kulia ni Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Geita, Alhaj Said Kalidushi.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi