Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii Yatembelea Ngorngoro
Jan 24, 2018
Na Msemaji Mkuu

   

Faru Fausta  mwenye umri wa miaka 54 ambaye ni  faru kikongwe kuliko wote nchini, anahitaji matunzo mazuri ili aendelee kuvuta watalii na wanasayansi kutoka kila pembe ya dunia.

  [caption id="attachment_27797" align="aligncenter" width="750"] Mhifadhi Mkuu wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Freddy Manongi akizungumza jana kwenye kikao cha Majumuisho  na wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii mara baada ya kukamilisha ziara ya kutembelea Bonde la Ngorongoro na Makumbusho ya Olduvai Gorge[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi