Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Blogu ya Idara ya Habari - MAELEZO

Dkt. Abbasi Akutana na Viongozi wa Chama cha Waandishi wa Habari Kanda ya Kati
Jan 23, 2018
Na Msemaji Mkuu

[caption id="" align="aligncenter" width="1000"] Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi akiongea na Viongozi wa Chama cha Waandishi wa Habari Kanda ya Kati (CPC) leo Mjini ambapo aliwasisitiza kuwakumbusha wanachama wao kuzingatia maadili katika utendaji kazi.[/caption]  

[caption id="attachment_27756" align="aligncenter" width="1000"] Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassan Abbasi (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Chama cha Waandishi wa Habari Kanda ya Kati (CPC) leo Mjini Dodoma.[/caption]

Mipangilio
Marekebisho ya Mandhari
Marekebisho ya Maandishi