[caption id="attachment_53053" align="aligncenter" width="750"] Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbasi akiwa ziarani katika Chuo cha Michezo Malya ambapo amekitaka chuo hicho kuongeza ubunifu.Kushoto ni Mkuu wa Chuo hicho Bw.Richard Mganga.[/caption]
Na Mwandishi Wetu, Mwanza
Katibu MKuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi ameutaka uongozi wa Chuo cha Michezo Malya kuongeza ubunifu katika aina ya mafunzo yanayotolewa na chuo hicho.
Akiwa...
Read More