Katibu Mkuu, Wizara ya Mifugo na Uvuvi, anayesimamia sekta ya Uvuvi, Dkt. Rashid Tamatamah (kushoto) na Meneja Mkuu, Kampuni ya ujenzi ya CHEC, Cheng Yongjian (kulia) wakisaini nyaraka za makubaliano ya ujenzi wa bandari ya uvuvi ya Kilwa katika hafla fupi ya utiaji saini iliyofanyika jijini Dodoma Jana. Katikati ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Mashimba Ndaki. Kushoto kwa Waziri ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji, Mhe. Dkt. Christina Ishengoma.
Na Mbaraka Kambona,
Serikali imeingia makubaliano ya kuan...
Read More