Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Bw. Saidi Yakubu akifanya mazungumzo na Katibu wa Shirikisho la Michezo ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI), Bw. Alex Temba leo Septemba 11, 2023 katika ofisi ndogo ya Wizara hiyo jijini Dar es salaam ambapo wamejadili namna bora ya kufanikisha mashindano hayo.
Read More