[caption id="attachment_27021" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongea na wadau wa zao la Kahawa kwenye kikao cha kujadili maendeleo ya zao hilo, kilichofanyika katika ukumbi wa Hazina, mjini Dodoma.[/caption]
[caption id="attachment_27022" align="aligncenter" width="750"] Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionesha mfano wa Kahawa iliyofungwa vizuri kwa soko la Kimataifa, inayotengenezwa na Kampuni ya Kitanzania ya AMIMZA Coffee, wakati alipokutana na wadau wa zao la Kahawa kwenye kikao cha kujadili maendeleo y...
Read More