Na: Lilian Lundo - MAELEZO, Dodoma.
Serikali imeshauri Wazazi/Walezi kuchagua Shule kulingana na uwezo wa kulipa ada kutokana na tofauti ya viwango vya ada na huduma zitolewazo kwenye shule binafsi.
Ushauri huo umetolewa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. William Tate Ole Nasha alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Mariam Nassor Kisangi juu ya kwa nini Serikali isikae na wadau husika ili kupanga ada elekezi kwenye shule binafsi.
"Serikali haitajihusisha na upangaji wa ada kwa shul...
Read More