Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson (kushoto), akiwa ameambatana na mwenyeji wake Spika wa Bunge la Morocco, Mhe. Rachid Talbi El Alami akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu ziara yake katika nchi hiyo katika ofisi za Bunge hilo zilizopo Jijini Rabat nchini Morocco leo tarehe 18 Septemba, 2023.
Read More