[caption id="attachment_4809" align="aligncenter" width="900"] Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania Prof. Ninatubu Lema, (aliyenyoosha mikono) akimweleza jambo Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Prof. Makame Mbarawa (wa tatu kutoka kulia), leo wakati akianza ziara ya kutembelea jengo la tatu la abiria la Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA_TBIII).[/caption]
Na: Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Ujenzi
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame M...
Read More