[caption id="attachment_50339" align="aligncenter" width="1000"] Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Jenista Mhagama akihutubia Wafanyakazi wa Ofisi wa Taifa ya Takwimu alipokuwa akifungua Mkutano wa Tatu wa Baraza la Tano la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo uliofanyika kwenye leo tarehe 23 Januari, 2020 Jijini Dodoma.[/caption]
Na Jacquiline Mrisho
Mabaraza ya Wafanyakazi yasiyo hai yaliyopo katika Wizara na Taasisi mbalimbali za Serikali yametakiwa kuhuishwa na kuanza kutekel...
Read More