Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama (katikati) akiangalia soli za viatu zinazotengenezwa na Kiwanda cha Kilimanjaro International Leather Industries Co. Ltd alipotembelea kiwanda hicho kwa lengo la kukagua maendeleo ya kiwanda hicho cha kutengeneza viatu sambamba na kukagua ujenzi wa awamu ya pili ya kiwanda cha kuchakata ngozi.
Na: Mwandishi Wetu – Moshi, Kilimanjaro
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Uratibu, Bunge...
Read More