Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na viongozi wa Serikali; Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Mhe Haroun Ali Suleiman, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Mhe Dkt. Amani Karume, Rais Mstaafu wa Zanzibar, Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein, Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof Ibrahim Hamis Juma na Jaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania, Mhe Omar Othman Makungu, alipowasili katika viwanja vya Jengo jipya la Mahakama Kuu Zanzibar Tungu, wakati...
Read More