Na Daudi Manongi - PWANI
Serikali imelipa madai ya watumishi 65,391 yenye jumla ya Shilingi Bilioni 90.7
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa wakati akitoa taarifa ya Serikali kupitia vyombo vya habari Kibaha, Pwani.
“Serikali inatambua kazi nzuri inayofanywa na Watumishi wa Umma na inawapongeza kwa kufanya kazi kwa uzalendo na kwa kujitoa kwa dhati. Tunatambua kumekuwa na changamoto ya muda mrefu juu kuhusu upandishaji madaraja, miundo na madai ya malimbikizo”, ames...
Read More