Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiangalia mfano wa jengo, kwenye banda la Chuo Kikuu cha Ardhi, wakati alipofungua Maonesho ya 17 ya Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam . Julai 19, 2022
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Watendaji wa Wizara ya Elimu na Tume ya Elimu ya Juu Tanzania (TCU), baada ya kufungua Maonesho ya 17 ya Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia, yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam . Julai 19, 2022. Kutoka kulia ni Katibu Mten...
Read More