Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko akizungumza na watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu wakati aliporipoti ofisi ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja, kushoto ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Jenista Mhagama na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Profesa Joyce Ndalichako, Septemba 2, 2023.
Read More