Na Zaituni Hussein MAELEZO
Taasisi ya Elimu Tanzania (TET), imesema tangu Tanzania ipate Uhuru mwaka 1961, imefanya mapitio makubwa sita ya mitaala ya elimu lengo likiwa ni kuwajengea wahitimu ujuzi utakaowawezesha kujitegemea na kutumia vema fursa zinazopatikana nchini, hususani kwa kujiajiri, kuajiriwa na kumudu maisha yao ya kila siku pale wanapohitimu mafunzo.
Kati ya mapitio hayo, matano tayari yalishafanyika mpaka kufikia mwaka 2014, na sasa kazi ya kukusanya maoni ya wadau kwa ajili ya pitio la sita inaendelea.
Mkurugenzi Mkuu...
Read More