Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), Mhe. George Simbachawene wakiteta jambo na Naibu Waziri wa Elimu, Mhe. Omary Juma Kipanga baada ya kuwasilisha kauli ya Serikali kuhusu Tozo, bungeni jijini Dodoma.
Na. Paschal Dotto-MAELEZO
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba amsema kwamba Serikali imezingatia maoni ya wananchi kwa kufanya marekebisho katika tozo licha ya kwamba tozo hizo zilianzishwa ili kukidhi mahitaji ya bajeti.
Akizun...
Read More